HALMASHAURI YA MJI WA BABATI-MANYARA. Halmsahauri ya mji wa Babati Mkoani Manyara imefanya uhamasishaji kwa wananchi juu ya umhimu wa kushiriki zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga…

HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI WA MBULU Mganga mfawidhi hospitali ya halmashauri ya mji wa Mbulu mkoani Manyara Dr Deogratius Mazengo, ameishukuru serikali kwa awamu ya pili ya madaktari bingwa…

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema serikali imekamilisha ujenzi wa soko kuu la wafanyabiashara mjini Katesh na kuwataka wafanyabiashara hao kuhamia kwenye soko hilo jipya lilojengwa na serikali…